Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, December 13, 2012

ZANTEL YAPIGA TAFU MKUTANO MKUU WA TASWA UTAKAOFANYIKA BAGAMOYO

Kampuni ya simu za mkononi Zantel leo imekipiga tafu chama cha waandishi wa habari za michezo kwa kuipatia shilingi milioni sita na elfu arobaini.

Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyofanyika kwenye mgahawa wa sports lounge Mkurugenzi wa Corporete Solutions, Ahmed Mohamed alisema wanafurahi kurudisha fadhila kwa jamii kwa kugawana nao faida wanayoipata.

Naye Mkiti wa TASWA Juma Pinto aliishukuru Zantel kwa kuwa sehemu ya mkutano huo kwa kuwashika mkuno kwani mahitaji ya mkutano huo ni zaidi ya milioni 20.
Corporate Solutions Director Ahmed S. Mohamed akimkabidhi M/Kiti wa TASWA mfano wa hundi ambayo ni sehemu ya mchango wa Zantel waliochangia kufanikisha mkutano mkuu wa TASWA utakaofanyika Desemba mwaka huu, Bagamoyo mkoani Pwani



No comments:

Post a Comment