Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, November 12, 2012

DROGBA AKIRI KUSUMBULIWA NA MOURIHNO USINGIZI




MSHAMBULIAJI wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba amekiri kwamba amekuwa akitumia meseji usiku wa manane kutoka kwa kocha wake wa zamani Jose Mourinho.
 Drogba, ambaye kwa sasa anacheza soka nchini China, kwenye klabu ya Shanghai Shenua, alisema kwamba ataendelea kuwa karibu na Mourinho na Roman Abramovich, milele na ndio maana wameendela kuwasiliana.
“Lakini tatizo la Jose (Mourinho), bado hajajua kama kuna tofauti ya muda kati ya China na Hispania na amekuwa akinitumia meseji usiku wa manane nikiwa nimelala.” Alisema Drogba.

No comments:

Post a Comment