MARCO REUS NA PIERRE-EMERICK WAPELEKA KILIO KWA SPURS BAADA YA KUIFUNGIA BORUSSIA DORTMUND 3-0
Borussia Dortmund wanaongoza bao 2-0 bao zote mbili zikifungwa dakika ya 30 na dakika ya 61.
Bao la kwanza limefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 30.
Bao la tatu limefungwa na Marco Reus tena dakika ya 70
Tottenham Hotspur bado hawajapata kitu mpaka sasa...
Post a Comment