Droo hii iko wazi ikimaanisha Timu za Nchi moja zinaweza kukutanishwa na hivyo upo uwezekano wa, mathalani, Real Madrid na Barcelona kukutana.
Klabu zilizofuzu kuingia Robo Fainali:
-Atlético Madrid
-Bayern München
-Barcelona
-Benfica
-Manchester City
-Paris Saint-Germain
-Real Madrid
-Wolfsburg
Mechi za Robo Fainali zitachezwa Tarehe Aprili 5 na 6 na Marudiano ni Aprili 12 na 13.
No comments:
Post a Comment