Mwishoni mwa Msimu huu, Guardiola atachukua wadhifa wa kuwa Meneja mpya wa Man City na kumekuwa na habari kadhaa za Mastaa kadhaa kuchukuliwa na Kocha huyo wa sasa Bayern Munich kwenda huko City mara tu akianza kazi yake mpya.
Lakini Pique yeye amejiondoa kwa wale watakaofanya hivyo kwa sababu tu ya mapenzi yake na Man United ambako alichezea kwa Miaka Minne.
Pique na Guardiola walikuwa pamoja huko Barcelona kabla Kocha huyo kuamua kuondoka kwa Mabingwa hao wa Spain.
No comments:
Post a Comment