Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 10, 2015

CHELSEA WAMTUPIA JICHO MCHEZAJI WA BAYER LEVERKUSEN JAVIER HERNANDEZ.

Mchezaji wa Bayer Leverkusen Javier Hernandez msimu huu wa 2015/2016 umemkubali sana akiwa katika Klabu hiyo na sasa Mabingwa wa England ambao msimu huu wamekuwa butu
sasa wanamhitaji mchezaji huyo wa Zamani wa Klabu ya Manchester United.

No comments:

Post a Comment