BRENDAN RODGERS KWENYE KIBARUA KIGUMU LEO, MASHABIKI WAANDAMANA, WAMTAKA KLOPP AU KURUDISHA BENITEZ
Liverpool wameshinda Mechi 2 tu kati ya 7 zilizopita na kuwaacha Nafasi ya 5 kwenye Ligi ambayo ni nje ya kucheza UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu ujao na pia walitupwa nje kwenye FA CUP baada ya kutolewa na Aston Villa katika Nusu Fainali.
Klopp na Brendan
Post a Comment