ABEL HERNANDEZ AFUNGIWA MECHI 3 KWA KOSA LA KUMPIGA NGUMI BEKI WA UNITED PHIL JONES.
Tukio hilo la ngumi ya Hernandez halikuonwa na Refa lakini lilinaswa kwenye Video na FA kumfungulia Mashitaka na Mchezaji huyo kutoka Uruguay kukiri kosa na sasa atatumikia adhabu yake Msimu ujao akiwa Daraja la chini la Championship.
Post a Comment