NDUMBARU: UBABE WA MALINZI KWA BODI YA LIGI NA VILABU HAUVUMILIKI
![]() |
| Mwanasheria wa Vilabu Dr Damas Ndumbaru anasema Malinzi atasimamisha ligi kuu kwani vilabu havikubaliani na ubabe wake |
Akiongea
katika mazunguzo maalum na mtandao huu, Ndumbaru
amesema tayari amezungumza na wateja wake ambao ni vilabu na
wamekubaliana mambo kadhaa ikiwemo kuachana na ligi kuu pamoja na
kuelekea shirikisho la soka duniani FIFA endapo Rais Malinzi
atang'ang'nia msimamo huo.

Post a Comment