Jana, Barca, ambao wanasaka Taji la Ubingwa la Tano katika Misimu 6, na Atletico Madrid zote zilishinda Mechi zao.
Barca wapo kileleni, wanafuatia Real na kisha Atletico, na hii ni kwa tofauti ya Magoli tu kwani wote wana Pointi 60 kila mmoja lakini, ikiwa watafungana mwishoni mwa Msimu, hiyo haimo na badala yake Bingwa atapatikana kwa kulinganisha Matokeo ya Uso kwa Uso kati yao.
Real, ambao hawajapoteza Mechi tangu wafungwe na Barca 2-1 huko Nou Camp Mwezi Oktoba, Leo walicheza bila ya Mfungaji wao Bora Cristiano Ronaldo, ambae yuko Kifungoni Mechi 3, walianza kufunga kwa Bao la Jese katika Dakika ya 6, kisha Dakika ya 27 Benzema akapiga Bao la Pili na Modric kupiga Bao la Tatu Dakika ya 66.
Hapo Jana, Barcelona waliifumua Rayo Vallecano Bao 6-0 na Atletico Madrid waliichapa Real Valladolid Bao 3-0.
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA LA LIGA TIMU ZA JUU:
2013/2014 Spanish Primera División Table | |||||||||||||||||||||||
Overall | Home | Away | |||||||||||||||||||||
POS | TEAM | P | W | D | L | F | A | W | D | L | F | A | W | D | L | F | A | GD | Pts | ||||
1 | Barcelona | 24 | 19 | 3 | 2 | 69 | 17 | 11 | 0 | 1 | 42 | 9 | 8 | 3 | 1 | 27 | 8 | 52 | 60 | ||||
2 | Real Madrid | 24 | 19 | 3 | 2 | 68 | 24 | 10 | 0 | 1 | 36 | 10 | 9 | 3 | 1 | 32 | 14 | 44 | 60 | ||||
3 | Atletico Madrid | 24 | 19 | 3 | 2 | 59 | 16 | 11 | 2 | 0 | 41 | 7 | 8 | 1 | 2 | 18 | 9 | 43 | 60 |
RATIBA/MATOKEO
Ijumaa Februari 14
Elche CF 0 v Osasuna 0
Jumamosi Februari 15
Atletico de Madrid 3 v Real Valladolid 0
Levante 1 v UD Almeria 0
FC Barcelona 6 v Rayo Vallecano 0
Villarreal CF 0 v Celta de Vigo 2
Jumapili Februari 16
Granada CF 1 v Real Betis 0
Getafe CF 0 v Real Madrid 3
Athletic de Bilbao 1 v RCD Espanyol 2
23:00 Sevilla FC v Valencia
Jumatatu Februari 17
24:00 Malaga CF v Real Sociedad
No comments:
Post a Comment