Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, February 18, 2014

BARCELONA WATUA SALAMA ENGLAND kucheza na MANCHESTER CITY LEO.


Touchdown: Lionel Messi and Gerard Pique walk off the plane at Manchester Airport ahead of Tuesday night's Champions League clash with City - and judging by their expressions, they anticipate nothing less than victory at the Etihad Lionel Messi na Gerard Pique muda mfupi baada ya kushuka kwenye uwanja wa ndege wa Manchester Ready for action: Carles Puyol and Cesc Fabregas arrive in Manchester for the eagerly-anticipated last 16, first leg tieCarles Puyol na Cesc Fabregas
Twenzetu!
Neymar Mapema!!! Nyota wa klabu ya Barcelona wakiwa katika ndege tayari kwa safari yao kuelekea nchini UIngereza kwa ajili ya mchezo dhidi ya Manchester City.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: JUMANNE CITY v BARCA, JUMATANO

RATIBA
Jumanne Februari 18

22:45 Manchester City v FC Barcelona
22:45 Bayer 04 Leverkusen v Paris Saint-Germain

Jumatano Februari 19
22:45 AC Milan v Atletico de Madrid
22:45 Arsenal FC v Bayern Munich



MAN CITY WAKIFANYA MAZOEZI, TAYARI KWA MCHEZO WAO NA BARCA KESHO Injury boost: Brazilian midfielder Fernandinho trained with his team-mates on the Etihad pitch
Wachezaji wa Manchester City wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Etihad leo kujiweka sawa kwa mchezo wao na Barcelona hapo kesho jumanne kwenye Uefa Champions League.Wachezaji wa City wakiendelea na zoezi..Put through their paces: Garcia, Negredo, Demichelis and Kolarov (left-right) look ahead to the clashNaomuona Garcia, Negredo, Demichelis na KolarovTalking tactics: Manuel Pellegrini runs through his plans with his City charges as they prepare for the gameKocha Manuel Pellegrini akiwapa mbinu za kuibana Barca hapo kesho! Preparation: Manchester City's players train at the Etihad on Monday ahead of their Champions League clash with BarcelonaTaking a seat: Pellegrini and Toure pull up a pew before being grilled by the media in the press conferenceBaadae Pellegrini na Toure walikutana na waandishi wa habari kuzungumzia swala zima la mtanange wa kesho jumanne usiku.
VIKOSI VINATARAJIWA KUWA HIVI:
Manchester City: Hart, Pantilimon, Zabaleta, Richards, Kompany, Demichelis, Lescott, Boyata, Kolarov, Clichy, Nasri, Navas, Silva, Garcia, Toure, Fernandinho, Rodwell, Negredo, Dzeko, Jovetic.
FC Barcelona: Valdés, Pinto, Olazábal, Montoya, Piqué, Fàbregas, Puyol, Xavi, Pedro, Iniesta, Alexis, Messi, Neymar, Mascherano, Bartra, Sergio, Song, Jordi Alba, Tello, Afellay, Adriano, Dani Alves, Sergi Roberto.


View image on TwitterUwanjani leo hii, kufanya mazoezi

No comments:

Post a Comment