Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, July 26, 2013

CHELSEA WAMALIZA ZIARA YAO ASIA KWA KUIFUNGA INDONESIA ALL STARS MABAO 8-1

Thrashing: Wallace, Demba Ba and Ramires (let-right) celebrate as Chelsea run riotChelsea ikiongozwa na mzee machachali na kocha mpya Jose Mourinho leo wamemaliza Ziara yao Barani Asia kwa kuifunga timu ya Indonesia All Stars Bao 8-1.Eden Hazard ndiye aliyeanza kuifungia timu yake dakika ya 22 kwa mkwaju wa penati, Ramires akamaliza kwa kuziona nyavu mara 2 dakika ya 30 na dakika ya 57 Pamoja na Lukaku pia leo ameongeza kuifungia Chelsea mabao leo ametupia mbili. Ba nae akafata kufunga kisha john Terry akaimaliza kwa kuiongezea machungu timu ya Indonesia All Stars katika dakika ya 45 . Traore nae akafunga bao pia huku timu ya Indonesia All Stars wakapata bao dakika ya 69 kipindi cha pili wakijifunga wao wenyewe. Kumbuka Chelsea wakiwa huko Asia, Chelsea walicheza Mechi tatu na walianza kwa kuifunga Singha All Stars Bao 1-0 huko Bangkok, Thailand na kufuatia huko Kuala Lumpur, Malaysia ambako waliifunga Malaysia XI Bao 4-1.Blues brothers: Marco Van Ginkel, Gary Cahill and John Terry celebrate

Marco Van Ginkel, Gary Cahill na John Terry wakijumuika pamoja kushangilia baada ya kuifunga timu ya Indonesia All Stars
All smiles: Jose Mourinho watches as his side stroll to an easy win in Jakarta
Jose Mourinho kwenye benchi akiangalia timu yake ikigawa dozi kiurahiisi mjini Jakarta
Going wild: Fans in Indonesia celebrate as Chelsea thrashed the All-Stars
Mashabiki waliovalia jezi za Chelsea wakishangilia uwanjani Baada ya kuona mvua ya mabao kwa Indonesia All Stars
Captain: Chelsea's John Terry (right) celebrates scoring his side's fourth goal of the game with teammates
Kapten John Terryakishangilia na wenzake
No mistake: Chelsea's Eden Hazard scores his side's first goal of the game from the penalty spot
Eden Hazardakifunga bao la penati dakika ya 22 na kuifungulia Blues Mvua ya Mabao leo
Just warming up: Demba Ba (left) and Ramires celebrate the Blues going 3-0 up
Demba Ba na Ramires wakiitimisha jumla ya mabao 3-0
Easy: Chelsea's Ramires (second right) celebrates scoring his side's second goal of the game with teammates
Ushindi mtamu jamani!!!
Through the paces: Chelsea's second half team warmed up at the tail end of the first 45 minutes
Dalili za Ushindi kwa Chelsea zilionekana mapeema katika kipindi cha dakika 45 za kipindi cha kwanza
KIKOSI CHA CHELSEA:
Chelsea: Blackman (Schwarzer 46); Wallace (Ivanovic 46), Cahill, Terry (Kalas 46), Bertrand (Cole 46); Chalobah (Essien 46), Van Ginkel (McEachran 60); Ramires (Feruz 60), Hazard (Piazon 60), Moses (Traore 46); Ba (Lukaku 46).

Goals: Hazard (penalty) 21, Ramires 29, 56 Ba 32, Terry 45, Traore 50, Lukaku 52, 65.

Indonesia All-Stars goal: Kalas (og) 67

CHELSEA-ZIARA:
May 24 Manchester City (Busch Stadium, St Louis)-KIPIGO 3-4
May 25 Manchester City (Yankee Stadium, New York)-KIPIGO 3-5
Julai 17 Singha All-Stars (Rajamangala Stadium, Bangkok)-USHINDI 1-0
Julai 21 Malaysia XI (Kuala Lumpur - BNI Cup 2013) -USHINDI 4-1
Julai 25 BNI Indonesia All-Stars (Gelora Bung Karno National Stadium, Jakarta) -USHINDI 8-1
Agosti 2 Inter Milan (Lucas Oil Stadium, Indianapolis - Guinness International Champions Cup) SAA 9 USIKU

No comments:

Post a Comment