Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, August 31, 2016

NASRI AENDA KWA MKOPO SEVILLA

Manchester City wamekubali Samir Nasri aende Sevilla ya Spain kwa Mkopo.
Sevilla inatarajiwa kuwa itamlipa Nasri, mwenye Miaka 29, Asilimia 65 ya Mshahara wake na nyingine kulipwa na City.
Pep Guardiola alipitua City hivi karibuni Nasri alitupwa nje ya Kikosi cha Kwanza na kulazimika kufanya mazoezi peke take baada ya Meneja huyo kudai amekuwa mnene mno.
Lakini Jumamosi Nasri aliingizwa kutoka Benchi wakati City ikiichapa West Ham 3-1 huko Etihad.

No comments:

Post a Comment