Sanchez akishangilia bao lake la kusawazisha
Kipa David Ospina akifungwa bao la pili
Alexis Sanchez anasawazishia bao Arsenal dakika ya 76 na kufanya 2-2Harry Kane dakika ya 62 aliipa bao la kuongoza Spurs kwa kufanya 2-, Kabla ya hapo wa Mchezaji wa Tottenham Hotspur Toby Alderweireld dakika ya 60 aliisawazishia bao kwa kufanya 2-1. Dakika ya 55 kipindi cha pili Francis Coquelin wa Arsenal alioneshwa kadi ya pili ya njano na kuondoshwa kwa kadi nyekundu Uwanjani na Hapo Arsenal wakacheza pungufu 10 Uwanjani na mambo kuwaendea vibaya kuanzia hapo.
1-0Aaron Ramsey dakika ya 39 anaifungia bao la kuongoza 1-0
VIKOSI:
Tottenham: Lloris; Walker, Alderweireld, Wimmer, Rose; Dembele, Dier; Lamela, Eriksen, Alli; Kane
Akiba: Vorm, Davies, Trippier, Carroll, Chadli, Mason, Son
Arsenal: Ospina; Bellerin, Mertesacker, Gabriel, Gibbs; Elneny, Coquelin; Ramsey, Ozil, Sanchez; Welbeck
Akiba: Macey, Chambers, Monreal, Flamini, Campbell, Walcott, Giroud
Msimamo ulivyo
Kipa David Ospina akifungwa bao la pili
Alexis Sanchez anasawazishia bao Arsenal dakika ya 76 na kufanya 2-2Harry Kane dakika ya 62 aliipa bao la kuongoza Spurs kwa kufanya 2-, Kabla ya hapo wa Mchezaji wa Tottenham Hotspur Toby Alderweireld dakika ya 60 aliisawazishia bao kwa kufanya 2-1. Dakika ya 55 kipindi cha pili Francis Coquelin wa Arsenal alioneshwa kadi ya pili ya njano na kuondoshwa kwa kadi nyekundu Uwanjani na Hapo Arsenal wakacheza pungufu 10 Uwanjani na mambo kuwaendea vibaya kuanzia hapo.
1-0Aaron Ramsey dakika ya 39 anaifungia bao la kuongoza 1-0
VIKOSI:
Tottenham: Lloris; Walker, Alderweireld, Wimmer, Rose; Dembele, Dier; Lamela, Eriksen, Alli; Kane
Akiba: Vorm, Davies, Trippier, Carroll, Chadli, Mason, Son
Arsenal: Ospina; Bellerin, Mertesacker, Gabriel, Gibbs; Elneny, Coquelin; Ramsey, Ozil, Sanchez; Welbeck
Akiba: Macey, Chambers, Monreal, Flamini, Campbell, Walcott, Giroud
Msimamo ulivyo
No comments:
Post a Comment