Jurgen
Klopp amepata ushindi wake wa kwanza Uwanjani Anfield baada ya Timu
yake Liverpool kuifunga Swansea Bao 1-0 kwa Bao la Penati ya James
Milner ya Dakika ya 62.
Penati hiyo ilitolewa baada ya Neil Taylor kuunawa Mpira.
Ushindi huu umewapaisha Liverpool hadi Nafasi ya 6 na kuwatupa Swansea, ambao wameshinda Mechi 1 tu tangu Agosti, hadi Nafasi ya 15.
Steven Gerrard alikuwepo katika kipute hicho
Kikosi cha Liverpool
Mtu Kati
Mameneja pande zote mbili wakitafuta pointi
Klopp
Ki Sung na Benteke
Adam Lallana na Moreno
James Milner akishangilia bao lake la pekee katika mtanange huo
Penati hiyo ilitolewa baada ya Neil Taylor kuunawa Mpira.
Ushindi huu umewapaisha Liverpool hadi Nafasi ya 6 na kuwatupa Swansea, ambao wameshinda Mechi 1 tu tangu Agosti, hadi Nafasi ya 15.








No comments:
Post a Comment