
Everton wao wanatinga kwenye Mechi hii wakitoka kwenye kipigo cha 3-0 Nyumbani kwao Goodison Park kutoka kwa Man United.
Ikiwa Arsenal wataifunga Everton basi watakaa kileleni mwa Ligi pengine hadi Jumapili wakati Dabi ya Manchester ikichezwa huko Old Trafford kati ya Man United na Man City ambao wana nafasi ya kuishusha Arsenal toka kileleni.

RATIBA:
Jumamosi Oktoba 24
17:00 Aston Villa v Swansea
17:00 Leicester v Crystal Palace
17:00 Norwich v West Brom
17:00 Stoke v Watford
17:00 West Ham v Chelsea
19:30 Arsenal v Everton
Jumapili Oktoba 25
15:00 Sunderland v Newcastle
17:05 Bournemouth v Tottenham
17:05 Man United v Man City
19:15 Liverpool v Southampton


No comments:
Post a Comment