Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, October 28, 2015

MSIMAMO NA WAFUNGAJI WANAOONGOZA MPAKA SASA LIGI KUU TANZANIA BARA

Ligi Kuu soka Tanzania bara inaendelea tena kwa michezo kadhaa kupigwa leo Jumatano ya Octoba 28 na Alhamisi ya October 29. Ligi hiyo inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali ambapo Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam utapigwa mchezo ambao unatajwa kuwa na presha kwa kocha wa Simba Dylan Kerr ambaye kuna tetesi kuwa uongozi wa Simba umempa mechi mbili afanye vizuri ili kunusuru kibarua chake.

Hii ni ratiba ya mechi za October 28 na 29.


Ratiba za mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 28 na 29
Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara October 27

Wachezaji wanaongoza kwa ufungaji wa mabao

No comments:

Post a Comment