
Floyd atajaribu kuifikia rekodi ya bondia Rocky Marciano, ya kupigana mapambano 49 pasipo kupoteza.Berto ameshinda mapambano 30 huku akipoteza mapambano matatu.
Bondia mwingereza Amir Khan alikua na matumaini ya kuzipiga na Mayweather, baada ya kumpiga Chris Algieri, mwezi Juni.

No comments:
Post a Comment