Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, June 12, 2015

Arsenal yamwachilia Abou Diaby

Abou Diaby
Kiungo wa kati wa Arsenal Abou Diaby ni miongoni mwa wachezaji wa Arsenal wanaoondoka katika kilabu hiyo baada ya Arsenal kuchapisha majina ya wachezaji wake walioachiliwa na klabu hiyo msimu huu.
Diaby anaungana katika orodha hiyo na beki wa Aston Villa Ron Vlaar ambaye kilabu hiyo bado inajaribu kuafikiana naye mkataba mpya na Wes Brown ambaye kandarasi yake imekamilika katika klabu ya Sunderland.
Chelsea nayo inamtoa Didier Drogba ikiwa ni mchezaji wa pakee anayeondoka kilabu hiyo kwa uhamisho wa bure huku klabu ya Hull City pia ikiwatoa wachezaji wake 13 akiwemo Mayonor Figueroa,Paul McShane na Yannick Sagbo.

No comments:

Post a Comment