





Bao la FC Porto lilifungwa dakika ya
73 na Jackson Martínez akipewa pasi na H. Herrera na kufanya 5-1.
Xabi Alonso Aliwafunga bao la sita na kufanya mtanange kumalizika kwa
bao 6-1 na jumla ya mabao kuwa 7-4. Kwa matokeo hayo Bayern Munich
wanakwenda hatua ya Nusu Fainali.
Kocha wa FC Porto hana hamu kipindi cha kwanza tuu kashapagwa kwa kipigo!!
Dakika ya 36 kipindi cha kwanza Thomas Müller aliipa bao la 4 Bayern Munich na kufanya bao jumla kuwa 5-3 baada ya kupata ushirikiano safi kutoka kwa Thiago Alcántara na kufunga bao hilo.
Robert
Lewandowski alifunga bao la tatu dakika ya 27 kwa kichwa baada ya
kupata krosi safi ya juu kutoka kwa Thomas Müller na kufanya bao kuwa
3-0 dhidi ya FC Porto.
Muller hakupimika usiku huu!! Ni yeye na Mashabiki.
Jerome
Boateng dakika ya 22 aliwafungia bao la pili Bayern Munich na kufanya
2-0 dhidi ya FC Porto na Agg kuwa 3-3 baada ya kupata pasi kutoka kwa
Holger Badstuber. 
Thiago Alcântara kipindi cha kwanza dakika ya 14 aliwapatia bao la kuongoza baada ya kupata mpira kutoka kwa Juan Bernat.
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Robo Fainali-Mechi za Marudiano
Jumanne Aprili 21
Bayern Munich vs FC Porto [Allianz Arena, Munich, Germany] (1-3)
Barcelona vs Paris Saint-Germain [Nou Camp, Barcelona, Spain] (3-1)


Dakika ya 36 kipindi cha kwanza Thomas Müller aliipa bao la 4 Bayern Munich na kufanya bao jumla kuwa 5-3 baada ya kupata ushirikiano safi kutoka kwa Thiago Alcántara na kufunga bao hilo.

Thiago Alcântara kipindi cha kwanza dakika ya 14 aliwapatia bao la kuongoza baada ya kupata mpira kutoka kwa Juan Bernat.

Robo Fainali-Mechi za Marudiano
Jumanne Aprili 21
Bayern Munich vs FC Porto [Allianz Arena, Munich, Germany] (1-3)
Barcelona vs Paris Saint-Germain [Nou Camp, Barcelona, Spain] (3-1)
No comments:
Post a Comment