BAO
2 za Mchezaji wa Mkopo kutoka Chelsea, Mohamed Salah, zimewapa
Fiorentina ushindi wa Bao 2-1 Ugenini walipocheza na Juventus katika
Mechi ya Kwanza ya Nusu Fainali ya Coppa Italiana.
Salah,
Raia wa Misri, alifunga Bao la Kwanza Dakika ya 11 na Fernando Llorente
kusawazisha Dakika ya 24 lakini Salah akawapa ushindi Fiorentina Dakika
ya 56.
Mechi za Pili za Marudiano za Nusu Fainali zitachezwa Mwezi ujao.

Paul Pogba akikabwa na Mchezaji Richards kutoka kwa City kwa mkopo sasa akiichezea timu ya Fiorentina

Mohamed Salah alifungua lango kwa kuifungia timu yake bao la kwanza dhidi ya Juventus

Straika wa Juventus Fernando Llorente alisawazisha bao hilo kwa kufanya 1-1

Mchezaji
wa Chelsea anayekipiga hapo kwa Mkopo Fiorentina akitokea Chelsea kwa
mkopo Salah,aliifungia timu yake ya sasa bao la pili na kufanya 2-1
Wachezaji wa Fiorentina waliungana na kushangilia ushindi wao dhidi ya Vinara Juve usiku

Sala akishangilia kwa kuwapa dole Mashabiki wake kwenye Uwanja huo Juve akipigwa bao 2-1

Mario Gomez akipongezana na Mohamed Sala
h
No comments:
Post a Comment