Baada ya Man United, Klabu zinazofuatia kwenye Listi hiyo ya Utajiri Duniani ni Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain kisha Klabu za England Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool.
Listi hii, ambayo imesheheni Klabu za Ligi kubwa Ulaya, haikuangalia nini Madeni ya Klabu. Ligi hizo 5 kubwa Ulaya ni Ligi Kuu Endland, La Liga ya Spain, Bundesliga ya Germany, Serie A ya Italy na Ligi 1 ya France.
MSIMAMO: LIGI YA UTAJIRI
1. Real Madrid: 549.5m (518.9m)
2. Man Utd: 518m (423.8m)
3. Bayern Munich: 487.5m (431.2m)
4. Barcelona: 484.6m (482.6m)
5. Paris Saint Germain; 474.2m (398.8m)
6. Manchester City: 414.4m (316.2m)
7. Chelsea: 387.9m (303.4m)
8. Arsenal: 359.3m (284.3)
9. Liverpool: 305.9m (240.6m)
10. Juventus: 279.4m (272.4m)
Premier League clubs' revenues last season
Deloitte
No comments:
Post a Comment