
Mechi hizo 7 ni za Ligi Kuu England, Kundi D la UEFA CHAMPIONS LIGI na ile ya Mtoano ya Raundi ya Tatu ya Capital One Cup.

Siku 3 baadae Arsenal watakuwa Ugenini huko Signal Iduna Park Jijini Dortmund, Germany kuwavaa wakali Borussia Dortmund kwenye Mechi yao ya kwanza kabisa ya Kundi D la UEFA CHAMPIONS LIGI.


Baada ya Siku 4 Arsenal wataenda huko Stamford Bridge kumvaa Jose Mourinho na Chelsea yake kwenye Mechi ya Ligi.
Mpaka akifikia hapo, Arsene Wenger atajitambua wazi Msimu huu wa 2014/15 amesimama wapi.

ARSENAL – Mechi 7 zijazo:
Jumamosi Septemba 13
14:45 Arsenal v Man City [Ligi Kuu England]
Jumanne Septemba 16
21:45 Borussia Dortmund v Arsenal [UEFA CHAMPIONZ LIGI - KUNDI D]
Jumamosi Septemba 20
17:00 Aston Villa v Arsenal [Ligi Kuu England]
Jumanne Septemba 23
21:45 Arsenal v Southampton [Capital One Cup – Raundi ya Tatu]
Ligi Kuu England
Jumamosi Septemba 27
19:30 Arsenal v Tottenham [Ligi Kuu England]
Jumatano Oktoba 1
21:45 Arsenal v Galatasaray [UEFA CHAMPIONS LIGI - KUNDI D]
Ligi Kuu England
Jumapili Oktoba 5
16:05 Chelsea v Arsenal [Ligi Kuu England]
No comments:
Post a Comment