Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, August 10, 2014

ZESCO YATIBUA FURAHA YA WANASIMBA TAMASHA LA SIMBA DAY UWANJA WA TAIFA LEO.


Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande)

Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.

Kikosi cha Zesco.

Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.

Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa wa Simba Day uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Zesco ilishinda 3-0.
Golikipa wa Zesco, Lameck Nyangu akiokoa moja ya hatri zilizoelekezwa langoni mwake.

Amis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zesco, Bernad Mapili.

Mshambuliaji wa Ismba, Issa Rashid akichuana na beki wa Zesco.


Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Haasan Dalali akitambulishwa.

Crescentius Magori akitambulishwa jukwaa Kuu.

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akipeana mkono na Ivo Mapunda.

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akiwa amepozi katrika picha na kipa wa Simba, Ivo Mapunda.

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akisalimiana na Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera.

MC akiongoza sherehe za Simba Day.

Timu zikiingia uwanjani.

Wachezaji wakiingia uwanjani.

Benchi la ufundi la Zesco.

Timu za Simba na Zesco kabla ya mchezo.

Tunawakilisha.

Twanga Pepeta wakitoa burudani.

Mashabiki wa Simba wakiwa hawaamini kilichotokea uwanjani baada ya kufuungwa mabao 3-0 na Zesco.

Wanenguaji wa Twanga Pepeta wakitumbuiza wakati wa mechi ya Simba na Zesco ya Zambia.

Beki wa timu ya zesco, Zimisileni Moyo (juu) akichuana na mshambuliaji wa simba, Oasainou Manneh, kuwania mpira wakati wa mchezo wa kirafiki katika Tamasha la Simba Day,lililofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Katika mchezo huo Simba ilikubari kichapo cha mabao 3-0.

Amri Kiemba wa simba (kulia) akimtoka Clatous Chama, wakati wa mchezo huo.



Beki wa simba William Lucian (katikati) akimtoka mchezaji wa Zesco, Winston Kalengo,wakati wa mchezo huo.



Mwimbaji wa bendi ya Twanga Pepeta, Kaalala Junior, akiimba wakati bendi hiyo ilipokuwa ikitoa burudani katika Taamasha hilo.



Kalala akiwachezesha wanenguaji wake.



Wanenguaji wa Twanga, wakishambulia jukwaa.



Wanamuziki wa twanga wakiimba uwanjani hapo..



Sehemu ya mashabiki wa Simba waliohudhuria Tamasha hilo.



Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba, akiimba uwanjani hapo wakati wa Tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment