Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, May 21, 2014

MABONDIA SAID MBELWA NA KALAMA NYILAWILA WAJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAO MEI 24

Bondia wa siku nyingi Rashid Matumla kushoto akimnoa bondia Karama Nyilawila wakati wa mazoezi yake ya mwisho kabla ya kumkabili Said Mbelwa Mei 24 katika ukumbi Friends Corner Manzese Dar es salaam 


Bondia Said Mbelwa akipiga bag zito kwa ngumi nzito wakati akijiandaa na mpambano wake na Karama Nyilawila wa kugombania ubingwa wa UBO Mei 24 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es salaam
Bondia wa siku nyingi Rashid Matumla kulia akimnoa bondia Karama Nyilawila wakati wa mazoezi yake ya mwisho kabla ya kumkabili Said Mbelwa Mei 24 katika ukumbi Friends Corner Manzese Dar es salaam

No comments:

Post a Comment