Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, March 7, 2014

TAIFA STARS KUREJEA MCHANA KUTOKA NAMIBIA



Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kurejea nchini leo saa 12:45 kutoka Windhoek, Namibia kwenye mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA.



Taifa Stars ambayo katika mechi hiyo dhidi ya Namibia (Brave Warriors) ilitoka sare ya bao 1-1 itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa ndege ya South Africa Airways.



Timu inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager baada ya kuwasili itakwenda hoteli ya Accomondia kwa ajili ya chakula cha mchana na baadaye kuvunja rasmi kambi yake.



Boniface Wambura Mgoyo

Media and Communications Officer

Tanzania Football Federation (TFF)

No comments:

Post a Comment