
Murray alishindwa kwa seti tatu kwa moja na Milos Raonic ambaye ameorodheshwa kama mchezaji wa kumi bora katika mashindano hayo.


Baada ya mech hiyo Murray alikiri kuwa hakuwa na anajiaamini na alikuwa na wasi wasi kuhusu hali yake baada ya kupoteza nafasi mbili za wazi ambazo zilifanya mpinzani wake kumshinda.

No comments:
Post a Comment