Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, February 28, 2014

EUROPA LEAGUE: TOTTENHAM 3 FC DNIPRO 1, SPURS WAFANYA KWELI

Tottenham wamepindua kipigo cha Bao 1-0 walichopata huko Ukraine na kuichapa FC Dnipro Bao 3-1 na wao kutinga Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya EUROPA LIGI.
Bao za Tottenham zilifungwa na Sandro, Dakika ya 45 na FC Dnipro kusawazisha Dakika ya 47 kwa Bao la Zozulja lakini Adebayor akapiga Bao 2 katika Dakika za 65 na 69 na kuipa Tottenham ushindi. 

FC Dnipro walipata pigo Dakika ya 63 baada Mchezaji wao Zozulja kupewa Kadi Nyekundu. Jermain Defoe nae alikuwepo kushuhudia kipute hicho!Patashika kuutafuta mpira..Chupuchupu Soldado afunge bao mapema..Dnipro wakifunga bao lakini baadae walipotea na kufungwa na kuondolewa nje ya michuano hiyo!Zozulya akitofautiana na Jan Vertonghen na hapa walipandishianaMajanga Uwanjani!! mbele ya Mwamuzi...The peacemaker: Adebayor restrained a furious Zozulya after the Ukranian headbutted VerthonghenWazi wazi ...kweupe!!

Michael Dawson chini...Taswira Michael Dawson akiwa chini na wengine wakiwa wanakwaruzana katika fujo za hapa na pale!!!Onyo!! Mwamuzi na Kocha wa Muda wa Spurs wakinyoosheana kidole!! ....swala ni kufanya haki!
Sawa...sikatai...mtoe nje sasa!!!Turning point: French referee Anthony Gautier had no hesitation in sending Zozulya offMwamuzi Anthony Gautierakimtoa nje Zozulya Kilichofata ni kipigo kwa timu ya Fc DniproSpurs wakifanya 2-2 Agg:Mtajiju ....twende nikawafunge!!Bao....The main man: Emmanuel Adebayor struck two goals to set up a tie with last year's runners-up Benfica in the last 16 of the Europa LeagueAdebayor akionesha saluti baada ya kuinyonga FC DNIPROThat's my boy: Tim Sherwood and Adebayor share a moment on the sidelines after Spurs took control of the tieSafi....Adebayor...Adebayor akiteta kimya kimya na mashabiki wa Spurs!! raha ya kufunga baoMaking a good fist of it: Jermain Defoe said farewell to White Hart Lane before departing for another chapter in his careerDefoe Kutoka kwenye ushindi mpaka kutupwa njeNervy moments: Both managers observe proceedings from the touchline on a breathless nightkupumua kwa shida

No comments:

Post a Comment