

NAPOLI 3 v SWANSEA CITY 1
Napoli imeipiga Swansea City Bao 3-1 na kutinga Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya EUROPA LIGI.
Timu hizi zilitoka Sare ya Bao 0-0 katika Mechi ya kwanza huko Wales.
Bao za Napoli zilifungwa na Insine, Higuaian na Inler huku Bao la Swansea likifungwa na Guzman.




Mapema kocha wote wawili walisalimiana:Rafael Benitez (kulia) wa Napoli na Kocha wa Swansea Garry Monk.

Gokhan Inler akifunga bao la tatu na kufanya 3-1 na kuipa ushindi Napoli kwenye muda wa mwishoni wa dakika za lala salama..

Kipa wa Swansea Vorm akisungukwa na mchezaji wa Napoli fowadi Marek Hamsik
No comments:
Post a Comment