Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, January 12, 2014

LA LIGA: ATLETICO NA BARCELONA HAKUNA MBABE WATOKA 0-0, BARCA WAENDELEA KUWA KILELENI!


Super sub? Messi started on the bench for Barca but could not find a winner in Madrid
Messi pamoja na kutokea benchi mapema hakuweza kuziona nyavu za Madrid leo, Mpira umemalizika 0-0 hakuna mbabe!! Neymar nae ameingia kipindi cha pili katika dakika ya 67 akichukuwa nafasi ya Alexis Sanchez huku Pedro akipumzishwa dakika ya 82 na nafasi yake ikichukuliwa na Sergi Roberto.
Close down: Diego Costa's effort on goal is put under pressure by Barcelona defender Gerard Pique
Diego Costa akikabwa na mchezaji wa Barca Gerard PiqueKipindi cha kwanza kinamalizika timu zote zikiwa 0-0 huku Star wa Barcelona Lionel Messi na Neymar wakianzia benchi.
Pamoja na Mchezaji wao Messi aliyetokea benchi kipindi cha pili  dakika ya 45 akichukua nafasi ya Andresi Iniesta katika kipindi cha pili  hakuweza kutamba na kufunga bao lolote kwenye lango la Atletico Madrid. Sare hii ya kutofungana ya 0-0 inafanya Barca waendelee kuwa na pointi 50 juu kwa utofauti wa mabao na timu ya Atletico Madrid ambao pia wana alama hizo hizo 50 kwa kuishia kugawana pointi moja moja.
Messi aliingia kipindi cha pili mwanzoni

Lionel Messi ralivyokuwa nje kabla ya kuingia uwanjani kucheza na Atletico Madrid waliokuwa kwao


Taswira ya benchi...
Hapa ni 50/50 tuu: Diego Costa na Jordi Alba
LA LIGA: MSIMAMO  WA TIMU TATU ZA JUU:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
19
16
1
1
53
12
41
50
2
Atletico Madrid
19
16
1
1
47
11
36
50
3
Real Madrid CF
18
14
2
2
52
21
31
44

RATIBA/MATOKEO
Ijumaa Januari 10
Granada CF 4 Real Valladolid 0
Jumamosi Januari 11
Athletic de Bilbao 6 UD Almeria 1
Celta de Vigo 2 Valencia 1
Atletico de Madrid 0 FC Barcelona 0
Elche CF 1 Sevilla FC 1
Jumapili Januari 12
1400 Getafe CF v Rayo Vallecano
1900 Real Betis v Osasuna
2100 RCD Espanyol v Real Madrid CF
2300 Levante v Malaga CF
Jumatatu Januari 13
2400 Villarreal CF v Real Sociedad

No comments:

Post a Comment