

Sare ya bao 1-1 dhidi ya Ghana, iliiwezesha Libya kuendelea kupeperusha vyema bendera ya nchi yao kwenye michuano hiyo.
Libya wana pointi 4 katika mechi 2 baada ya kuichapa Ethiopia 2-0 kwenye mechi ya ufunguzi kundi C.

Baada ya kuichapa Ethiopia, Congo ipo katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 3 mkononi.
Ghana watakutana na Ethiopia katika mechi ya mwisho ya kundi lao siku ya jumanne, lakini mchezaji muhimu wa Ghana Yahaya Mohammed hatoshuka dimbani.
Mchuano mwingine wa makundi ni kati la Libya na Ghana ambao nao watachuana siku hiyo hiyo.
No comments:
Post a Comment