Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 5, 2013

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: :REAL SOCIEDAD ITATOKA KWA MAN UNITED, JUVE vs REAL, MANCHESTER CITY vs CSKA MOSCOW LEO?

Quick scribble: Tom Cleverley signs and autograph at Manchester airport
Mchezaji Tom Cleverley akimwekea sahihi shabiki kwenye uwanja wa ndege wa  Manchester muda mfupi kabla ya kuelekea Spain.

Manchester United, ambao leo Jumanne Usiku wako Ugenini huko Spain, watapiga hatua kubwa kufuzu ikiwa wataifunga Real Sociedad Timu ambayo kwenye Kundi A imefungwa Mechi zao zote 3. Hata hivyo kwenye msimamo huo wanafuatiwa na timu mbili na zote zinalingana pointi Bayer 04 Leverkusen ni ya pili ina pointi 4 na Shakhtar Donetsk ina 4.
Fighting fit: Wayne Rooney (right) glides the ball past the challenging Shinji Kagawa
Kwenye mazoezi Wayne Rooney na  Shinji Kagawa wakioneshana mbwembwe zao
Striking chance: Robin van Persie controls the ball in training ahead of United's trip
Robin van Persiekwenye kikosi kilichoenda kucheza na Real Sociedad leo nae yumo.
Out-of-favour? Kagawa stretches to control the ball at United's Carrington training ground
Kagawa na wenzake walifanya mazoezi uwanjani Carringtonkabla ya kuelekea Spain kuumana na Real Sociedad.
Yellow fever: Striker Rooney pulls a bib on as the United stars are put through their paces (below)
Rooney ndani ya kikosi.
Manchester United's Rio Ferdinand (C) warms up during a training sessionWachezaji wa United wakifanya mazoezi.
Relieved: Adnan Januzaj suffered no injury from Fulham defender Sacha Riether's stamp
Adnan Januzaj aliyekanyagwa na mchezaji wa Fulham Sacha Riether
MSIMAMO KUNDI A:
KUNDI A








NATIMUPWDLFAGDPTS
1Manchester United32106337
2Bayer 04 Leverkusen32018534
3FC Shakhtar Donetsk311135-24
4Real Sociedad300315-40

RATIBA ZA UEFA LEO JUMANNE: 
MECHI ZA 4 ZA MAKUNDI  
Jumanne 5 Nov 2013
[Mechi zote Saa 4 Dakika 45 Usiku]
FC Shakhtar Donetsk v Bayer 04 Leverkusen
Real Sociedad de Fútbol v Manchester United FC
Juventus v Real Madrid CF
FC København v Galatasaray A.Ş.
Paris Saint-Germain v RSC Anderlecht
Olympiacos FC v SL Benfica
Manchester City FC v PFC CSKA Moskva
FC Viktoria Plzeň v FC Bayern München

No comments:

Post a Comment