Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, November 5, 2013

KESHO UEFA CHAMPIONS LEAGUE: BORUSSIA DORTMUND vs ARSENAL, GUNNERS KULIPA KISASI!!! TIMU ZOTE MBILI ZAPANIANA KOCHA JURGEN KLOPP AJIKOSHA NA KUJISHUSHA KWA MZEE WENGER!!


Different ideals: Jurgen Klopp has described Arsenal's style as being like an orchestra, but the Borussia Dortmund boss prefers his team to play 'heavy metal' footballJurgen Klopp wakati wa mtanange wa kwanza Emirates ambapo timu yake ilishinda bao 2-1 dhidi ya Gunners na sasa kesho jumatano wapo kwake Dortmund.Jur-Gunner Klopp: Big fan of Arsene Wenger and playing football in the rainArsenal wako Kundi F ambalo Vinara ni Borussia Dortmund wakifuatia Arsenal kisha Napoli lakini Timu zote hizi zina Pointi 6 kila mmoja na Marseille yuko mkiani akiwa hana hata Pointi.

Kocha wa Dortmund Klopp (kulia) amedai kuwa anaipenda Arsenal na anajua muziki wao hivyo timu yao haitawabeza hata kidogo na pia anamkubali mtu mzima mzee Arsene Wenger na amemuita 'Sir'
Big game: Klopp's Borussia Dortmund side host Arsenal in the Champions League on Wednesday
Mchezaji wa Borussia Dortmund akikwaana na Ozil wa Arsenal katika mechi ya kwanza ambapo kesho jumatano wanarudiana huko kwao Dortmund.
In control: Klopp directs his players in Friday's 6-1 home thrashing of Stuttgart
Klopp hivi karibuni amesaidi mkataba mpya wa kumuweka klabini hapo hadi mwaka 2018 na hivi karibuni aliongoza kikosi chake kikamnyuka mtu bao 6-1 dhidi ya Stuttgart ijumaa iliyopita.
All smiles: Klopp is well-known for his man-management skills at Dortmund
Kocha Klopp akiwapongeza wachezaji wake baada ya kumfunga mtu bao 6-1 juzi ijumaa
Smash and grab: Dortmund striker Robert Lewandowski seals three precious Champions League points at the Emirates
Robert Lewandowski ndiye aliyefunga bao la pili wakati wa mtanange wa kwanza Emirates hivyo na kesho jumatano wenda akaongeza mabao hivyo Arsenal wajiandae kwa ukabaji
Jumping for joy: Pierre-Emerick Aubameyang has been an instant hit since arriving at Dortmund in the summer
Gunners mpo hapo!!!
Someone to lean on: Klopp consoles his midfielder Kevin Grosskreutz after the late defeat to their Bundesliga rivals
Klopp akiwa na midfielder wake Kevin Grosskreutz
Fans' favourite: Lewandowski (left) is expected to join Bayern Munich on a free transfer next summer
Lewandowski mbele ya mashabiki wao wa Dortimund.

RATIBA YA MITANANGE YA KESHO JUMATANO.
Jumatano 6 Nov 2013 

FC Basel 1893 v FC Steaua Bucureşti
Chelsea FC v FC Schalke 04
Borussia Dortmund v Arsenal FC
SSC Napoli v Olympique de Marseille
Football Club Zenit v FC Porto [Saa 2 Usiku]
Club Atlético de Madrid v FK Austria Wien
AFC Ajax v Celtic FC
FC Barcelona v AC Milan

No comments:

Post a Comment