

Kipindi chapili dakika ya 56 Thomas Müller akaipatia bao la pili na kisha bao la tatu likafungwa na Arjen Robben dakika ya 59 na kufanya mtanange uwe ngumu kwa kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini na kikosi chake alichopanga leo.

Thomas Muller akipongezwa baada ya kufanya 2-0

Frank Ribery na Micah Richards wote wakikimbilia mpira...

Muuaji wa bao la mwisho la tatu Arjen Robben

Patashika kwenye eneo la hatari la box

Bosi wa City Manuel Pellegrini akipagawa kwa kichapo na kuwalalamikia wachezaji wake kutobweteka

Mchezaji wa Manchester City Yaya Toure akimkaba vilivyo Toni Kroos wa Bayern

Muller akimfanyia sitaki nataka kipa Joe Hart na kumchomoa mpira na kufunga

Hapa ndipo raha ya ushindi inaanzia, Meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola akishangilia bao la mwisho la tatu kwa aina yake...

Alvaro Negredo akifunga bao la kufutia machozi na kufanya 3-1

Mashabiki wa Bayern wakipeperusha scarfs juu kwenye uwanja wa Etihad usiku wa leo
RATIBA/MATOKEO
Jumatano 2 Oktoba 2013
Shakhtar Donetsk 1 v 1 Manchester United FC
Bayer 04 Leverkusen 2 v 1 Real Sociedad de Fútbol
Juventus 2 v 2 Galatasaray A.Ş.
Real Madrid 4 v 0 København
Paris Saint-Germain 3 v 0 SL Benfica
RSC Anderlecht 0 v 3 Olympiacos FC
Manchester City 1 v 3 Bayern München
PFC CSKA Moskva 3 v 2 Viktoria Plzeň
No comments:
Post a Comment