Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando kutolewa katika mjengo huo.
Feza Kessy.
Feza and IK.
Big Brother StarGame Winner Keagan and IK.…
Feza Kessy.
Feza and IK.
Big Brother StarGame Winner Keagan and IK.
Cleo and Dillish.
The Chase came to an end for Tanzanian Housemate Feza, after she was evicted from the Big Brother House. Big Brother The Chase, the 91-day reality series, produced for M-Net’s AfricaMagic, is being screened live 24/7 on DStv channels 197 and 198.

No comments:

Post a Comment