Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, June 30, 2013

MOURIHNO AWABWAGA MOYES NA PELLEGRINI KATIKA MAKOCHA WENYE NAFASI YA KUTWAA UBINGWA WA ENGLAND

 Happy one: And so are Jose Mourinho's players after they were given extra time off
London, England

JOSE MOURINHO amewabwaga makocha wapya wenzake katika kura zilizopigwa kubashiri kocha mwenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao.

Makocha waliopigiwa kura ni Mourinho wa Chelsea, David Moyes wa Manchester United na Manuel Pellegrini wa Manchester City ambao wamejiunga na klabu hizo majira haya ya joto.

Mashabiki wanaoaminika kwa upigaji kura za utabiri nchini England, walimpa Mounrinho asilimia 52 ya kura 2,000 zilizopigwa.

Moyes alipata kura 28, huku Kocha wa zamani wa Malaga, Pellegrini aliyetua City akiambulia kura 14.

Kadhalika mashabiki wengi walitabiri kuwa Mshambuliaji wa Kimataifa wa England, Wayne Rooney, atakuwa bora zaidi endapo ataamua kubaki Manchester United


No comments:

Post a Comment