Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, June 30, 2013

BRAZIL MABINGWA WA MABARA BAADA YA KUIFUNGA HISPANIA MABAO 3-0

BRAZIL imetwaa Kombe la Mabara jana usiku baada ya kuifunga Hispania mabao 3-0 kwenye mchezo wa fainali uliochezwa Uwanja wa Maracana  mjini Rio de Janeiro, Brazil.

Kwenye mchezo huo, mabingwa wa Dunia na Ulaya walipoteza mchezaji mmoja na pia wakashindwa kufunga kwa penalti.
Katika mchezo huo Fred aliyefunga mabao mawili, la kwanza dakika ya pili na la tatu dakika ya 47 kwa pasi iliyotoka kwa Hulk na Neymar aliyefunga la pili dakika ya 44 baada ya kupokea  pasi iliyotoka kwa Oscar.

Pique alitolewa nje dakika ya 68 kwa kumchezea rafu, Neymar na dakika ya 54 Marcelo alimuangusha kwenye eneo la penalti Navas, lakini Sergio Ramos akakosa penalti kwani shuti lake lilitoka nje.

Kikosi cha Brazil kilikuwa: Julio Cesar; Dani Alves, Thiago Silva (capt), David Luiz, Marcelo; Oscar, Luiz Gustavo, Paulinho; Fred, Neymar, Hulk.

Hispania: Iker Casillas; Alvaro Arbeloa/Azpilicueta dk46, Gerard Pique, Sergio Ramos, Jordi Alba; Xavi, Sergio Busquets, Andres Iniesta; Juan Mata, Fernando Torres na Pedro.





Ovation: Fred is deservedly applauded off the pitch after a tireless performance
Fred  alifunga mabao mawili
Cheerio: Gerard Pique is sent off for hacking down his future Barcelona team-mate.
Gerard Pique alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kumuumiza Neymar
Wasted: Spain were gifted a penalty but Sergio Ramos hit it well wideSergio Ramos  penalti yake iliota mbawa
Game over? Fred celebrates his second and Brazil's third
Fred akishangilia bao lake la pili kwa timu yake Brazil ambalo pia ni la tatu
Key moment: David Luiz clears off the line from a Pedro shot - a goal would have made it 2-1 to Brazil
David Luiz aliokoa shuti la Pedro
Neymar
Neymar
Jubilant: Neymar dives into the crowd to celebrate with fans inside the Maracana
Neymar akishangilia na mashabiki Maracana
Lucky boy: Alvaro Arbeloa should have been sent off for his challenge on Neymar - the pair was completely alone on the halfway line when the Real Madrid defender brought him down
Clashes: Police fire tear gas at protesters outside the Maracana
Polisi wa kutuliza ghasia wakipuliza gesi ya moto kudhibiti fujo nje ya Uwanja wa Maracana
Bundled: Fred scores for the hosts
Fred akifunga
Early lead: Fred scores after just two minutes following some terrible defending by Spain
Fred alifunga dakika ya pili tu bao la kwanza
Great start: Fred celebrates with Neymar
Fred akishangilia na Neymar

No comments:

Post a Comment