Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, May 27, 2013

WADAU WALIVYOJIACHIA KWENYE UZINDUZI WA BIG BROTHER, JIJINI DAR ES SALAAM JANA PALEPALE SAMAKIMSAMAKI KATIKATI YA JIJI

Feza Kessy mwakilishi wa Tanzania Big brother mwaka huu
Barbara Kamboji, Ofisa Uhusiano wa Multichoice Tanzania akizungumza kabla ya washiriki kuanza kuingia kwenye jumba

Furaha Samalu Marketing  Manager wa Multchoice akiwa amejichanganya na wadau

Nando akiwa ndani ya jumba 

Millard Ayo  








Asha Baraka na AY pia walikuwepo




No comments:

Post a Comment