Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, May 1, 2013

COASTAL UNION YATIBUA SHEREHE ZA UBINGWA JANGWANI LEO, NA BAADA YA KUTOKA SARE YA 1-1

Mshambuliaji wa Yanga Jerryson  Tegete akishangilia bao lake la pekee alillofunga kipindi cha kwanza akiwa na Said Bahanuzi na Nurdin bakari

Nizar Khalfan wa Yanga akiwa amebanwa vilivyo na mdogo wake Razack Khalfan wa Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa taifa, timu hizi zilitoka sare 1-1

Baadhi ya vikombe vilivyokuwepo uwanjani leo, hata hivyo vilishindwa kushehekewa vema baada ya Coastal Union kusawazisha 


No comments:

Post a Comment