Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, January 20, 2013

SIMBA YASHINDA OMAN

TIMU ya Simba jana imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ahli Sidab ya daraja la kwanza ya Oman...Wenyeji hao walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Mbrazil, Lopez lakini Kiggi Makasi akasawazisha na kipindi cha pili Amri Kiemba akapachika bao la pili...Wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza Boban, Mwinyi na Kazimoto walikuwa nje, Sunzu hakucheza na Abel Dhaira





 


 


 



 


 


 
 


 


 

No comments:

Post a Comment