Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, January 20, 2013

WAREMBO WANAOWANIA TAJI LA MISS UTALII WAKILAZIMISHA KUTABASAMU

 

Baadhi ya Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 wakiwa wanajitahidi kutabasamu mpaka Mwisho
Warembo hawa ambao ni washiriki wa Miss Utalii 2012/13 wakiwa wanajikakamua kutoa Tabasamu la Nguvu
Zoezi La kutabasamu Linaendelea Hapa
Ilikuwa ni Kazi sana Ambapo Washiriki wa Miss Utalii 2012/13 walikuwa kila mmoja akitaka tabasamu zaidi kama anavyo onekana Mshiriki wa kwanza Kushoto pamoja na anaemfuatia
Mcheki Mshiriki wa Miss Utalii 2012/13 si kwamba amenuna Lakini anawaza ni Jinsi Gani atatoa Tabasamu lake

No comments:

Post a Comment