Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, January 27, 2013

LIVERPOOL YANYUKWA NA OLDHAM YA DARAJA LA KWANZA , YAAGA RASMI FA


Wachezaji wa Livepool wakicheza na Leeds

Tottenham imebanduliwa nje ya mashindano ya kuwania kombe la FA baada ya kulazwa magoli mawili kwa moja na Leeds United.
Luke Varney aliifungia Leeds bao lake la kwanza kabla ya Ross McCormack, kufunga la pili. Tottenham ambayo inashiriki katika ligi kuu ya Premier nayo ikapata bao lake kupitia kwa mchezaji wake Clint Dempsey.
Katika mechi nyingine Chelsea, nusura iage mashindano hayo baada ya kulemewa na Bendford.
Hata hivyo Fernando Torres aliifungia Chelsea bao lake la pili na kuiepushia aibu kubwa.
Wachezaji wa Leeds
Timu hizo mbili zilitoka sare ya kufungana magoli mawili kwa mawili.
Liverpool vile vile, imeondolewa kwenye michuano hiyo ya FA, baada ya kunyukwa magoli 3-2 na Oldham, ambayo inashiriki katika ligi daraja ya kwanza.
Timu zingine za ligi kuu ambazo zimefuzu kwa raundi ijayo ni pamoja na Manchester United, Everton, Arsenal, Wigan, reading na Manchester City.
Norwich, QPR na stoke city zinaungana na timu ambazo zimefunganya

No comments:

Post a Comment