Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, September 7, 2012

SIMBA YAFUNGWA BAO 3-0 NA SOFAPAKA YA KENYA




Kikosi cha Simba na kocha wa magolikipa


Kiungo wa Simba Salim Kinje akipambana na Humphrey Mteno wa Sofapaka kwenye mchezo wao wa kirafiki uliochezwa jana uwanja wa Taifa.

Daniel Akuffo akitolewa nje ya uwanja baada ya kuzimia sekunde kadhaa kugongana na beki wa Sofapaka

Mlinda mlango wa simba akiwa hewani kudaka mpira wakati wa mchezo wao na Sofapaka ya Kenya

Wachezaj wa Sofapaka wakishangilia bao la kwanza

Benchi la ufundi la Simba

Kikosi cha Simba wakipeana moyo kabla ya mchezo kuanza

Benchi la ufundi la Sofapaka

No comments:

Post a Comment