Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling
huenda akaelekea katika klabu ya Manchester United , hata hivyo
mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 ana wasiwasi kuhusu athari za
uhamisho huo hususani kutokana na ushindani mkali uliopo kati ya klabu
hizo mbili. Hatahivyo Liverpool imesema kuwa haiko tayari kufanya biashara na wapinzani wao wakuu kutoka Kaskazini Magharibi. Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Luois Van Gaal anavutiwa na kasi ya mchezaji huyo na uwezo wake wa kuwaponyoka mabeki. Sterling
amekataa ombi la kitita cha pauni laki moja kutoka kwa Liverpool
akisema kuwa anataka kuondoka na kukichezea kilabu ambacho kina uwezo wa
kushinda mataji.
A Snapshot from the Serengeti: The Gentle Giants
-
The Serengeti never fails to surprise. Today, we had the pleasure of
observing two giraffes navigating the sprawling acacia canopy, a perfect
portrai...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment