Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling
huenda akaelekea katika klabu ya Manchester United , hata hivyo
mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 ana wasiwasi kuhusu athari za
uhamisho huo hususani kutokana na ushindani mkali uliopo kati ya klabu
hizo mbili. Hatahivyo Liverpool imesema kuwa haiko tayari kufanya biashara na wapinzani wao wakuu kutoka Kaskazini Magharibi. Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Luois Van Gaal anavutiwa na kasi ya mchezaji huyo na uwezo wake wa kuwaponyoka mabeki. Sterling
amekataa ombi la kitita cha pauni laki moja kutoka kwa Liverpool
akisema kuwa anataka kuondoka na kukichezea kilabu ambacho kina uwezo wa
kushinda mataji.
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026
-
Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John
Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Picha za Viongozi mba...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment