Alisema: “Ni wazi Timu ya Nyumbani wanajaribu kumrubuni Refa.”
Pia Roberto Martinez alizungumzia kuhusu Ivanovic na kusema: “Ivanovic alifanya makosa. Alimpiga kabali ya nguvu McCarthy na kisha kumwekea Kichwa. James McCarthy hakujibu chochote. Kama unazingatia Sheria, ile ni Kadi Nyekundu na hatukupata uamuzi huo!”
No comments:
Post a Comment