Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, October 5, 2014

MANCHESTER CITY YAIFUNGA ASTON VILLA MABAO 2-0 PREMIER LEAGUE

Sergio Aguero akishangilia bao lake la dakika za mwishoni likiwa la pili na mtanange kumalizika kwa bao  2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye Uwanja wao wa nyumbani Villa Park.
Bao za City zimepatikana dakika za mwishoni za kipindi cha pili bao la kwanza likifungwa na Yaya Toure na la pili likifungwa na Sergio Aguero dakika ya 88.Aston Villa wawakaba Vilivyo Mabingwa watetezi Manchester City na Kumaliza kipindi cha kwanza bila kufungana kwa kutoka nguvu sawa 0-0.
Kipindi cha pili dakika ya 82 Yaya Touré aliwachoma bao la kwanza Aston Villa baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Fernando na kukatiza ndani ya box na kufunga bao hilo ambalo ndio lilianza kuwafungulia lango la magoli. Bao la pili lilifungwa dakika ya 88 na Sergio Agüero baada ya James Milner kumlisha mpira na kuachia shuti kali lililomzidi kipa wa Aston Villa ambaye alikuwa amehimili vishindo vya City vya tangu kipindi cha kwanza.VIKOSI:
Manchester City: Hart, Zabaleta, Kolarov, Kompany, Mangala, Milner, Fernandinho, Touré, Silva, Džeko, Agüero

Aston Villa: Guzan, Hutton, Senderos, Baker, Cissokho, Delph, Westwood, Cleverley, Richardson, N’Zogbia, Agbonlahor.

No comments:

Post a Comment