• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    Rahel Pallangyo Thursday, January 24, 2013
     


    Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

    MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

    Akizungumza na Handeni Kwetu leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

    Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.



    Alisema wamepokea kifo hicho kwa masikitiko makubwa, huku wakiamini kuwa wameumizwa na msiba huo wa mpiganaji mwenzao, aliyewaacha wapweke.

    “Ni msiba mzito kwetu sisi wa Msondo Ngoma pamoja na wadau wote wa muziki wa dansi hapa nchini, ukizingatia kwamba marehemu ni kiungo mahiri mno.

    “Familia yake imeona azikwe leo saa saba mchana, huku mwili wake ukiwa nyumbani kwake Tandika, baada ya kufariki katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo,” alisema Kibiriti.

    Hata hivyo Kibiriti hakutaka kujibu swali la haraka ya mazishi ya mwanamuziki wake, hali inayoweza kuwanyima fursa ya kuzikwa na wadau na mashabiki wa Msondo kwa ujumla.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • CCM Blog
      JISOMEE MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 22, 2026 -
      2 hours ago
    • BBC News Swahili
      Amka Na BBC - Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
      4 hours ago
    • LENZI YA MICHEZO
      Kutoka Magomeni hadi Kongwa: Rais wa Namibia Azidisha Hisia za Kihistoria na Urafiki wa Damu Nchini Tanzania - Safari ya kihistoria na iliyojaa mguso wa kipekee wa kiitikadi na kibinadamu ya Rais wa Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah nchini Tanzania imeendelea...
      12 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      RAIS SAMIA AHAMASISHA BIASHARA TANZANIA–NAMIBIA, ASEMA FURSA BADO NYINGI ZA UWEKEZAJI - Na Janeth Raphael -MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania na Namibia k...
      1 day ago
    • MOBILA SAFARIS
      Backyard Birding: How the Mobila Team Found Safari Magic Just Outside the Office Window - There is a common misconception that you have to travel hours into the depths of national parks to experience the vibrant wildlife of East Africa....
      1 day ago
    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      MEXICO YAJIWEKA PAZURI KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUILAZA KOREA KUSINI 1-0 - WENYEJI, Mexico wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Korea Kusini katika mchezo wa Kundi A Fainali za Kombe la Dunia Alfajiri ya leo Uwanja wa Akron,...
      3 days ago
    • HABARI NA MATUKIO
      Banda la WMA Lavutia Mamia ya Wananchi Kutafuta Elimu ya Vipimo - *Na Mwandishi Wetu, Dodoma* *Wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendele...
      3 days ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya - Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
      1 week ago
    • ZanziNews
      WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
      2 months ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    •    Mageuzi ya AI katika Utamaduni: Lipi Jukumu lako Mwanadamu
      Mageuzi ya AI katika Utamaduni: Lipi Jukumu lako Mwanadamu
        Mageuzi ya uhifadhi wa utamaduni yameingia katika hatua mpya kupitia Akili Unde (AI) katika ulimwengu ambao teknolojia inakua kwa kasi...
    •  Dk. Kikwete  yuko Juba  akisaka suluhu Sudan Kusini
      Dk. Kikwete yuko Juba akisaka suluhu Sudan Kusini
      Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza katika Jukwaa la Pili la Ushirikiano wa Umajumui wa Afrika lililoandaliwa na Serikali ya...
    • KATAMBI: AMANI NA USALAMA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI
      KATAMBI: AMANI NA USALAMA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI
      Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kulinda, kusimamia na kutekeleza haki za binadamu ikiwemo haki za raia wa Tanzania pamoja na wakimbi...
    •    MAMILIONI YA WHICKERS YATUA TANZANIA KUKAMILISHA FILAMU YA CHIDREN OF HONEY
      MAMILIONI YA WHICKERS YATUA TANZANIA KUKAMILISHA FILAMU YA CHIDREN OF HONEY
      Na Rahel Pallangyo Filamu ya Kitanzania ya Children of Honey imejipatia ruzuku nono ya pauni 120,000 za Uingereza, ambazo ni zaidi ya s...
    •    Watanzania Watakiwa Kuachana na  Taarifa Zisizo Sahihi za Mitandao ya Kijamii Kuhusu Ubia wa Tanzania na EU
      Watanzania Watakiwa Kuachana na Taarifa Zisizo Sahihi za Mitandao ya Kijamii Kuhusu Ubia wa Tanzania na EU
      Serikali imewataka wananchi kuachana na taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari amb...
    •  Benki ya CRDB Yaibeba AFCON 2027, Dk Nsekela Aahidi Ushirikiano Utakaotingisha Dodoma hadi Afrika Mashariki
      Benki ya CRDB Yaibeba AFCON 2027, Dk Nsekela Aahidi Ushirikiano Utakaotingisha Dodoma hadi Afrika Mashariki
      Benki ya CRDB imeahidi kuunga mkono maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikijiweka kama mshirika mkuu wa sekta binafsi kati...
    • Mchungaji Hananja aonya matumizi ya hovyo ya mitandao
      Mchungaji Hananja aonya matumizi ya hovyo ya mitandao
          Mchungaji Richard Hananja amewataka vijana kutafakari kwa kina kabla ya kushiriki katika vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani na ut...
    • WEMA SEPETU AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
      WEMA SEPETU AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
      Machozi ya miaka mingi, maswali yasiyo na majibu kutoka kwa jamii, na safari ndefu ya matibabu hatimaye, Malkia wa filamu na mwanamitindo ma...
    •  TANZANIA NA NAMIBIA ZAANZA SAFARI MPYA YA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI; ZASAINI HATI NNE ZA MAKUBALIANO IKULU DAR ES SALAAM
      TANZANIA NA NAMIBIA ZAANZA SAFARI MPYA YA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI; ZASAINI HATI NNE ZA MAKUBALIANO IKULU DAR ES SALAAM
      Na Mwandishi Wetu, BSKY Media Tanzania na Namibia zimekubaliana kuendeleza uhusiano wao wa kihistoria uliotokana na harakati za ukombozi kwa...
    •  “Matusi No, Hoja Ndio!” Kihongosi Awasha Moto Iringa, Awatolea Nje Wanasiasa Wanaohubiri Vurugu Mtandaoni na Uwanjani
      “Matusi No, Hoja Ndio!” Kihongosi Awasha Moto Iringa, Awatolea Nje Wanasiasa Wanaohubiri Vurugu Mtandaoni na Uwanjani
      Msemaji Mkuu wa Chama Cha Maapinzui (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amezichanga karata zake upya na kuweka nukta kwenye siasa za drama na taha...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel