• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    Rahel Pallangyo Thursday, January 24, 2013
     


    Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

    MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

    Akizungumza na Handeni Kwetu leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

    Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.



    Alisema wamepokea kifo hicho kwa masikitiko makubwa, huku wakiamini kuwa wameumizwa na msiba huo wa mpiganaji mwenzao, aliyewaacha wapweke.

    “Ni msiba mzito kwetu sisi wa Msondo Ngoma pamoja na wadau wote wa muziki wa dansi hapa nchini, ukizingatia kwamba marehemu ni kiungo mahiri mno.

    “Familia yake imeona azikwe leo saa saba mchana, huku mwili wake ukiwa nyumbani kwake Tandika, baada ya kufariki katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo,” alisema Kibiriti.

    Hata hivyo Kibiriti hakutaka kujibu swali la haraka ya mazishi ya mwanamuziki wake, hali inayoweza kuwanyima fursa ya kuzikwa na wadau na mashabiki wa Msondo kwa ujumla.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      NI PSG MABINGWA TENA LIGI YA MABINGWA ULAYA, ARSENAL 'YAFA KIUME' - TIMU ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya, maarufu kama UEFA Champions League baada ya ushindi wa penalti...
      5 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      Kamati ya Bunge Yaipongeza TRA kwa Kuongeza Mapato - KAMATI ya Bunge ya kudumu ya Bajeti imeipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)kwa kuanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya walipakodi wakubwa hatua amba...
      9 hours ago
    • LENZI YA MICHEZO
      Samia Atuma Ujumbe Mzito Chato Maziko ya Mama yake na Hayati Magufuli - Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunguka kwa kina na kuonesha ukaribu mkubwa uliokuwepo kati yake na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hay...
      1 day ago
    • BBC News Swahili
      Dira Ya Dunia - Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
      1 day ago
    • HABARI NA MATUKIO
      TPSC Yatoa Mafunzo Elekezi kwa Watumishi Wapya wa TISEZA - *Mafunzo Elekezi kwa Watumishi Wapya wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) yameanza leo, Mei 28, 2026, ikiwa ni hatua muhi...
      1 day ago
    • MOBILA SAFARIS
      The Ultimate Luxury Tarangire Safari - There is a specific moment in Tarangire when the rest of the world completely fades away. It usually happens just as the afternoon heat breaks....
      5 days ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Michezo : Zawadi Ligi ya Muungano Kuboreshwa - Na; Mwandishi Wetu, Unguja WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboresh...
      5 days ago
    • CCM Blog
      KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026 - Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Picha za Viongozi mba...
      5 weeks ago
    • ZanziNews
      WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
      2 months ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    • Serengeti Boys yafuzu fainali ya AFCON
      Serengeti Boys yafuzu fainali ya AFCON
      Kizazi kipya cha dhahabu cha soka la Tanzania kimeendelea kushangaza ulimwengu baada ya timu ya taifa ya wavulana chini ya umri wa miaka 17,...
    • MICHAEL OWEN KUTUNDIGA DALUGA MWISHONI MWA MSIMU HUU
      MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa kimataifa wa Uingereza, Michael Owen ametangaza leo kustaafu rasmi soka ifikapo mwishoni mwa msimu huu. ...
    •   Niachekona Cup Katika Kutokomeza Uhalifu na Kulinda Amani ya Nchi
      Niachekona Cup Katika Kutokomeza Uhalifu na Kulinda Amani ya Nchi
      Michezo ina nguvu ya kipekee ya kubadilisha mwelekeo wa jamii kwa kuwajenga vijana kuwa raia wema na kuwaepusha na vijiwe vinavyozalisha vit...
    •   SERIKALI YAFANYA MAWASILIANO NA MAREKANI KUHUSU TUHUMA ZA UBAGUZI WA KIDINI
      SERIKALI YAFANYA MAWASILIANO NA MAREKANI KUHUSU TUHUMA ZA UBAGUZI WA KIDINI
      Serikali imesema imeanza kufanya mawasiliano rasmi kuhusu tuhuma zilizotolewa na Marekani dhidi ya Tanzania, huku ikisisitiza kufuata mising...
    •  MSIMAMO WA VIONGOZI WA DINI: TUHUMA ZA MAREKANI JUU YA UDINI TANZANIA NI UZUSHI MTUPU
      MSIMAMO WA VIONGOZI WA DINI: TUHUMA ZA MAREKANI JUU YA UDINI TANZANIA NI UZUSHI MTUPU
        Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania imesimama kidete na kutangaza kuwa nchi ina amani ya kutosha na uhuru kamili wa kuabudu, mambo amb...
    • WACHINA WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUTEKA WENZAO NA KUDAI DOLA MILIONI 20
      WACHINA WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUTEKA WENZAO NA KUDAI DOLA MILIONI 20
        Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata raia wanne wa China kwa tuhuma za kuhusika na tukio la utekaji wa wafanyabiash...
    •  TAHLISO YATAKA HEKIMA VIJANA KUSIMAMIA AMANI
      TAHLISO YATAKA HEKIMA VIJANA KUSIMAMIA AMANI
      Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Vyuo na Vyuo Vikuu nchini (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amesema jumuiya hiyo haiungi mkono changamoto ...
    •  Serengeti Boys Watakata Morocco: Watinga Nusu Fainali AFCON
      Serengeti Boys Watakata Morocco: Watinga Nusu Fainali AFCON
      Timu ya Taifa ya wavulana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, imeandika ukurasa mpya na wa kihistoria katika soka la Tanzania baada y...
    •  Vyombo vya Usalama Vyapongezwa kwa Kulinda Amani Wakati wa machafuko ya Oktoba 2025
      Vyombo vya Usalama Vyapongezwa kwa Kulinda Amani Wakati wa machafuko ya Oktoba 2025
      Katiba na misingi ya utulivu wa Tanzania ilijaribiwa kwa kiwango kikubwa wakati wa machafuko yaliyojitokeza nchini, hatua iliyovifanya vyomb...
    •  TANZANIA YAZIDI KUNG'ARA KIMATAIFA: DIPLOMASIA YA SAMIA YALETA MATOKEO CHANYA
      TANZANIA YAZIDI KUNG'ARA KIMATAIFA: DIPLOMASIA YA SAMIA YALETA MATOKEO CHANYA
      Taswira na heshima ya Tanzania katika nyanja za kimataifa imeendelea kuimarika kwa kasi kubwa kutokana na utekelezaji wenye tija wa sera mad...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel