• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    Rahel Pallangyo Thursday, January 24, 2013
     


    Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

    MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

    Akizungumza na Handeni Kwetu leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

    Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.



    Alisema wamepokea kifo hicho kwa masikitiko makubwa, huku wakiamini kuwa wameumizwa na msiba huo wa mpiganaji mwenzao, aliyewaacha wapweke.

    “Ni msiba mzito kwetu sisi wa Msondo Ngoma pamoja na wadau wote wa muziki wa dansi hapa nchini, ukizingatia kwamba marehemu ni kiungo mahiri mno.

    “Familia yake imeona azikwe leo saa saba mchana, huku mwili wake ukiwa nyumbani kwake Tandika, baada ya kufariki katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo,” alisema Kibiriti.

    Hata hivyo Kibiriti hakutaka kujibu swali la haraka ya mazishi ya mwanamuziki wake, hali inayoweza kuwanyima fursa ya kuzikwa na wadau na mashabiki wa Msondo kwa ujumla.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • LENZI YA MICHEZO
      MKUTANO MKUU WA 20 WA TFF: MAFANIKIO NA MAONO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA - Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linafanya Mkutano Mkuu wake wa 20 katika Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, tukio ambalo ni kielelezo ...
      5 hours ago
    • HABARI NA MATUKIO
      PigaBet Yafungua Fursa Mpya kwa Mfugaji wa Kuku Dar - *Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Mjasiriamali na mfugaji wa kuku kutoka Mapinga, Bagamoyo, Raphael Emmanuel, amejishindia pikipiki kupitia promosheni...
      6 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA - Na Munir Shemweta, KITETO Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
      7 hours ago
    • CCM Blog
      ZAIDI WAFANYABIASHARA 6,011 WANUFAIKA NA SH. BIL. 12 ZA NMB - Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambapo wanufaika wamepewa Elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hiz...
      8 hours ago
    • ZanziNews
      Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Lumumba wapatiw mafunzo maalum - Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Lumumba wamepatiwa mafunzo maalum ya kitaalamu kwa lengo la kuwaongezea ujuzi na kuimarisha huduma ...
      8 hours ago
    • BBC News Swahili
      Dira Ya Dunia - Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
      10 hours ago
    • MOBILA SAFARIS
      Winds, Waves, and Wonder: A Guide to Sailing Zanzibar with Mobila Safaris - Zanzibar is more than just a beach destination; it is a sailor's playground. But to truly enjoy the Indian Ocean, you have to understand its temper...
      18 hours ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Kitaifa : Waziri Mkuu Aagiza TAKUKURU Kuchunguza Ubadhirifu wa Fedha Jengo la DC Kiteto - WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemtaka Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Manyara, Bahati Haule, kufanya uchunguzi wa kina na kuwasilisha taarifa ya kila m...
      19 hours ago
    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA - *Mshambuliaji Mkenya, Elvis Baranga Rupia akishangilia baada ya kuifungia Singida Black Stars bao la kuongoza* TIMU ya Namungo FC imetoa sare ya kufungana ...
      1 day ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    •  TUME YA JAJI CHANDE YAONGEZEWA SIKU 42
      TUME YA JAJI CHANDE YAONGEZEWA SIKU 42
      KATIKA kile kinachoonekana ni azma ya Serikali kuhakikisha kuwa taarifa ya uchunguzi wa matukio ya uchaguzi inakuwa ya kina na shirikishi, M...
    • KANGA MOKO LAKI SI PESA WAWATISHA MASHABIKI KAGERA, WENGI WABAKI MIDOMO WAZI STAILI ZAO SIYO KABISA
      KANGA MOKO LAKI SI PESA WAWATISHA MASHABIKI KAGERA, WENGI WABAKI MIDOMO WAZI STAILI ZAO SIYO KABISA
    • TRA SASA TAYARI KUZINDUA MFUMO MPYA WA KODI ‘IDRAS’
      TRA SASA TAYARI KUZINDUA MFUMO MPYA WA KODI ‘IDRAS’
        • Huduma kurejea saa 24, mifumo ya zamani kuunganishwa kuwa mmoja   • Mlipakodi kutokewa na makadirio ya haki, barua na majibu sasa ni kid...
    •  TATHMINI YA MOODY’S YAZIBA MIDOMO WAHUNI, TANZANIA INAPAA KIUCHUMI
      TATHMINI YA MOODY’S YAZIBA MIDOMO WAHUNI, TANZANIA INAPAA KIUCHUMI
      Wakati 'wahuni' wachache wakihaha usiku na mchana kutafuta kila mbinu ya kuchafua taswira ya Tanzania na mwelekeo wa Serikali ya Awa...
    •  MPOGOLO AWASILISHA MAFANIKIO YA ILANI ILALA: MADARASA MAPYA KWA WANAFUNZI 65,000 KUJENGWA
      MPOGOLO AWASILISHA MAFANIKIO YA ILANI ILALA: MADARASA MAPYA KWA WANAFUNZI 65,000 KUJENGWA
      Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kipindi cha kuanzia D...
    • MANCHESTER CITY YAFUNGWA NA CARDIFF CTY 3-2
      Cardiff City wameifunga timu ya Manchester City bao 3-2 leo kwenye ligi kuu England, Kipindi cha kwanza kilimalizika bila kufungana ...
    •   TIMES CHOGO ANYAKUA URAIS  GOFU WANAWAKE
      TIMES CHOGO ANYAKUA URAIS GOFU WANAWAKE
      Chama cha Gofu cha Wanawake Tanzania (TLGU) kimeingia katika awamu mpya ya uongozi kufuatia kukamilika kwa uchaguzi mkuu uliofanyika , Febru...
    •  UTULIVU WA TAIFA NDIO MUHIMILI WA AJIRA
      UTULIVU WA TAIFA NDIO MUHIMILI WA AJIRA
      Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amebainisha kuwa mafanikio ya mipango ya Serikali katika kutatu...
    • KIKWETE AMLILIA KARDINALI PENGO: "ALIKUWA RAFIKI WA WENGI NA MTUMISHI WA TAIFA"
      KIKWETE AMLILIA KARDINALI PENGO: "ALIKUWA RAFIKI WA WENGI NA MTUMISHI WA TAIFA"
      Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katolik...
    •  GABRIEL GEAY ATETEA UBINGWA DAEGU MARATHON KWA KUTWAA DHAHABU
      GABRIEL GEAY ATETEA UBINGWA DAEGU MARATHON KWA KUTWAA DHAHABU
      Mwanariadha nyota wa Tanzania, Gabriel Geay, ameendelea kuandika historia katika medani ya riadha duniani baada ya kuibuka mshindi na kutwaa...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel