• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    Rahel Pallangyo Thursday, January 24, 2013
     


    Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

    MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

    Akizungumza na Handeni Kwetu leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

    Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.



    Alisema wamepokea kifo hicho kwa masikitiko makubwa, huku wakiamini kuwa wameumizwa na msiba huo wa mpiganaji mwenzao, aliyewaacha wapweke.

    “Ni msiba mzito kwetu sisi wa Msondo Ngoma pamoja na wadau wote wa muziki wa dansi hapa nchini, ukizingatia kwamba marehemu ni kiungo mahiri mno.

    “Familia yake imeona azikwe leo saa saba mchana, huku mwili wake ukiwa nyumbani kwake Tandika, baada ya kufariki katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo,” alisema Kibiriti.

    Hata hivyo Kibiriti hakutaka kujibu swali la haraka ya mazishi ya mwanamuziki wake, hali inayoweza kuwanyima fursa ya kuzikwa na wadau na mashabiki wa Msondo kwa ujumla.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • LENZI YA MICHEZO
      SAMIA AFUNGUA MILANGO YA UTAJIRI BAHARINI: MELI NYINGINE NNE ZAJA - Na Mwandishi Wetu, BSKYmedia Serikali imetangaza neema kubwa kwa wadau wa uchumi wa buluu nchini baada ya kubainisha kuwa mbali na meli ya kisasa iliy...
      5 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      MKURUGENZI MKUU MSD:TUNAYO AKIBA YA KUTOSHA DAWA NA VIFAA TIBA NCHINI - -Awatoa hofu Watanzania wanaohofia upungufu wa dawa kutokana na mzozo mashariki ya kati Na Said Mwishehe,Michuzi TV MKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya Dawa(MSD)...
      7 hours ago
    • HABARI NA MATUKIO
      Mwenge wa Uhuru Wazindua Mradi wa Basi la Vijana Mkuranga - *KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Mwang’onda, amezindua mradi wa basi dogo wa kikundi cha vijana cha UNAMA, kinachotoa huduma ya usaf...
      12 hours ago
    • BBC News Swahili
      Baada ya ripoti ya Jaji Chande njia tatu zitakazoamua mustakabali wa Tanzania - Tanzania ina njia tatu za kuchagua kuhusu mustakabali wake, kufuatia ripoti ya Jaji Chande. BBC imezichambua njia hizo na kile kinachofuata Tanzania baada ...
      13 hours ago
    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      BETIKA WAZINDUA JEZI YA MSIMU WA 10 WA TULIA MARATHON MBEYA - KAMPUNI ya ubashiri, Betika Tanzania ikishirikiana na Taasisi ya Tulia trust kupitia Betika Mbeya Tulia Marathon imezindua rasmi jezi ambayo itatumika Ms...
      1 day ago
    • CCM Blog
      KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026 - Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Picha za Viongozi mba...
      6 days ago
    • MOBILA SAFARIS
      Why Mobila Safaris is Your Storyteller in the Wild. - "A brochure tells you where to go, but a story tells you who you became once you got there." Albert Martin, the face of *Mobila Safaris*, introduces...
      1 week ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Kimataifa : Museveni na Kikwete Wakutana Kampala Kujadili Amani Sudan Kusini - RAIS wa Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afri...
      2 weeks ago
    • ZanziNews
      WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
      4 weeks ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    • LIVE JAJI CHANDE IKULU
      LIVE JAJI CHANDE IKULU
        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anapokea ripoti ya Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa...
    •  Hamu ya Maridhiano: Viongozi wa Dini na Wanasiasa Wahimiza Amani Baada ya Ripoti
      Hamu ya Maridhiano: Viongozi wa Dini na Wanasiasa Wahimiza Amani Baada ya Ripoti
        Viongozi wa dini na wanasiasa nchini wametoa mwito wa dhati kwa Watanzania kudumisha amani, utulivu, na mshikamano kufuatia kukamilika na ...
    •  RAIS SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE AFRIKA
      RAIS SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE AFRIKA
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 20 Aprili, 2026 amepokea ujumbe kutoka Mtandao wa V...
    •  BMT KUTUNUKU MAUA KWA WANAMICHEZO BORA MEI 9
      BMT KUTUNUKU MAUA KWA WANAMICHEZO BORA MEI 9
      KASHIKASHI ya kusaka wababe wa michezo nchini kwa mwaka 2025 sasa imefika patamu baada ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kutangaza rasmi k...
    •  WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO TUNAKWAMISHA MIRADI
      WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO TUNAKWAMISHA MIRADI
      *Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko   WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali z...
    •  KONYAGI YAZINDUA KIZIBO KIPYA CHA KIDIGITALI KUIMARISHA USALAMA WA WANYWAJI
      KONYAGI YAZINDUA KIZIBO KIPYA CHA KIDIGITALI KUIMARISHA USALAMA WA WANYWAJI
      Kinywaji maarufu nchini cha Konyagi, kinachofahamika kama "Roho ya Taifa" (Spirit of the Nation), kimetangaza mabadiliko makubwa y...
    •  Ripoti ya Jaji Chande: Vifo 518 Vyathibitishwa, Ghasia za Uchaguzi 2025 Zilipangwa
      Ripoti ya Jaji Chande: Vifo 518 Vyathibitishwa, Ghasia za Uchaguzi 2025 Zilipangwa
      Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, leo amewasilisha ripoti ya t...
    •    MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
      MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
      Katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na misukosuko ya kijamii na kiuchumi, dhana ya maridhiano imetajwa kuwa rasilimali ya kimkakati i...
    • Rais Samia amtumia salamu za pongezi Simbu kwa kutikisa Marekani
      Rais Samia amtumia salamu za pongezi Simbu kwa kutikisa Marekani
      . Atwaa Nafasi ya Pili Boston Marathon 2026 , Avunja Rekodi ya Taifa kwa Kishindo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia S...
    •  MREMA: TUNA IMANI KUBWA NA TUME YA JAJI CHANDE
      MREMA: TUNA IMANI KUBWA NA TUME YA JAJI CHANDE
      Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema, ameeleza kuwa na matumaini makubwa na Tume iliyoundwa na Rais...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel