• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    MPIGA GITAA WA MSONDO NGOMA AAGA DUNIA KUZIKWA LEO SAA SABA

    Rahel Pallangyo Thursday, January 24, 2013
     


    Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

    MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

    Akizungumza na Handeni Kwetu leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

    Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.



    Alisema wamepokea kifo hicho kwa masikitiko makubwa, huku wakiamini kuwa wameumizwa na msiba huo wa mpiganaji mwenzao, aliyewaacha wapweke.

    “Ni msiba mzito kwetu sisi wa Msondo Ngoma pamoja na wadau wote wa muziki wa dansi hapa nchini, ukizingatia kwamba marehemu ni kiungo mahiri mno.

    “Familia yake imeona azikwe leo saa saba mchana, huku mwili wake ukiwa nyumbani kwake Tandika, baada ya kufariki katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo,” alisema Kibiriti.

    Hata hivyo Kibiriti hakutaka kujibu swali la haraka ya mazishi ya mwanamuziki wake, hali inayoweza kuwanyima fursa ya kuzikwa na wadau na mashabiki wa Msondo kwa ujumla.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • MICHUZI BLOG
      FANTA® Introduces New Berry Flavour in Tanzania - A new FANTA® flavour is adding a burst of deliciousness to the brand’s portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry. This bolder, fruitier tasti...
      8 hours ago
    • BBC News Swahili
      Tangazo la Marekani la mashambulizi ya kiuchumi ni kukiri kushindwa kijeshi - Iran - Brigedia Jenerali Hossein Mohebibi, msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, amesema kauli za Marekani kuhusu mashambulizi ya kiuc...
      18 hours ago
    • HABARI NA MATUKIO
      Manyara Tanzanite Marathon yalenga Sh1.5 bilioni kuokoa watoto njiti - Na Mwandishi Wetu, Manyara MBIO za hisani za Manyara Tanzanite Marathon 2026 zimefanyika leo katika Mji wa Babati, mkoani Manyara, huku waandaaji wakiw...
      2 days ago
    • LENZI YA MICHEZO
      MRADI WA UPANUZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM ENEO LA KURASINI WAFIKIA ASILIMIA 98 - Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam katika eneo la zamani la EPZA Kur...
      2 days ago
    • CCM Blog
      RAIS SAMIA KUZINDUA MRADI WA BWAWA LA UMEME LA MWALIMU NYERERE - Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa kimkakati wa...
      2 days ago
    • MOBILA SAFARIS
      Trusted in Tanzania. Connected to Africa. Committed to Excellence. - At Mobila Safaris, trust is more than a promise ; it is the foundation of every journey we create. As a proud member of *ATTA®*, a trusted platform for ...
      3 days ago
    • Wazalendo 25 Blog
      NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57 - - Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki...
      2 weeks ago
    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      YANGA SC YASAJILI CHIPUKIZI MWINGINE, NI HUSSEIN MIHAMBO WA MASHUJAA FC - KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji chipukizi, Hussein Juma Mihambo (19) kutoka Mashujaa FC kuwa mchezaji wake mpya kuelekea msimu ujao. Anakuwa mc...
      5 weeks ago
    • ZanziNews
      WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
      4 months ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    •  VIJANA WAAMBIWA NI WAKATI KUBADILISHA UBUNIFU KUWA UTAJIRI
      VIJANA WAAMBIWA NI WAKATI KUBADILISHA UBUNIFU KUWA UTAJIRI
      Maonyesho ya Mashariki Creative Economy Expo 2026 yaliyohitimishwa hivi karibuni katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam yalikuwa...
    • DC MPOGOLO ATOA SIKU 14 MKANDARASI KUKAMILISHA BARABARA YA MUHIMBILI
      DC MPOGOLO ATOA SIKU 14 MKANDARASI KUKAMILISHA BARABARA YA MUHIMBILI
        Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amempa mkandarasi China Wu Yi Construction siku 14 kuhakikisha uwekaji wa lami umeanza katika...
    •  MRADI WA UPANUZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM  ENEO LA KURASINI WAFIKIA ASILIMIA 98
      MRADI WA UPANUZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM ENEO LA KURASINI WAFIKIA ASILIMIA 98
      Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam katika eneo la zamani l...
    •  RAIS SAMIA, BENKI YA DUNIA WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUHARAKISHA MAGEUZI YA KIUCHUMI
      RAIS SAMIA, BENKI YA DUNIA WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUHARAKISHA MAGEUZI YA KIUCHUMI
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti20,2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa...
    •  SAMIA AZINDUA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE NA KUAGIZA KUKAMILISHWA KWA MIUNDOMBINU YA USAFIRISHAJI
      SAMIA AZINDUA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE NA KUAGIZA KUKAMILISHWA KWA MIUNDOMBINU YA USAFIRISHAJI
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,ameitaka Wizara ya Nishati kusimamia ukamilishaji wa haraka wa ...
    •  Tafca yasubiri uchaguzi kusonga mbele
      Tafca yasubiri uchaguzi kusonga mbele
      KATIBU wa Shirikisho la sanaa na Ufundi Tanzania (TAFCA), Marco Tibasima amesema shirikisho hilo linasubiri kukamilika kwa mchakato wa uchag...
    •  MTOTO WA KITANZANIA AWEKA HISTORIA KUSHINDA NA KUTEKELEZA SAFARI YA KISAYANSI NCHA YA KASKAZINI
      MTOTO WA KITANZANIA AWEKA HISTORIA KUSHINDA NA KUTEKELEZA SAFARI YA KISAYANSI NCHA YA KASKAZINI
      Mtoto Xyleen Mapunda (15) amesema amefurahi kujifunza namna madini ya urani yanavyotumika kutengeneza nishati ya nyuklia na faida zake alipo...
    •  Tanzania , IOM Kuimarisha Ushirikiano Kwenye Ajira na Uhamaji Salama
      Tanzania , IOM Kuimarisha Ushirikiano Kwenye Ajira na Uhamaji Salama
      Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) ili kutumia uhamaji kama kichoch...
    •  KUGEUZA UBUNIFU KUWA MALI YENYE THAMANI: NINI KIFANYIKE BAADA YA MAONYESHO YA MASHARIKI CREATIVE ECONOMY EXPO 2026
      KUGEUZA UBUNIFU KUWA MALI YENYE THAMANI: NINI KIFANYIKE BAADA YA MAONYESHO YA MASHARIKI CREATIVE ECONOMY EXPO 2026
      Maonyesho ya Mashariki Creative Economy Expo 2026 yaliyohitimishwa hivi jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na kuratibiw...
    •  Kauli ya Freeman Mbowe kwenye uzinduzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
      Kauli ya Freeman Mbowe kwenye uzinduzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
      MWANASIASA mstaafu na mwekezaji nchini, Freeman Mbowe ameipongeza serikali kwa kukamilisha Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNH...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel