Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, July 22, 2017

MORATA AFUZU VIPIMO CHELSEA, ATAMBULISHWA


STRAIKA wa Spain wa Klabu ya Real Madrid Alvaro Morata sasa ananyemelea kutua moja kwa moja kwa Mabingwa wa England Chelsea baada ya kufuzu Vipimo vya Afya yake.
Alvaro Morata is officially a Chelsea player after completing his transfer from Real MadridWikiendi hii, Morata anatarajiwa kuruka kwenda Singapore kujiunga na Kikosi cha Chelsea ambacho kitakuwa huko kwa Ziara ya Mechi za Matayarisho kwa ajili ya Msimu Mpya.
Morata, mwenye Miaka 24, amehamia Chelsea kwa Ada ya Pauni Milioni 58 na alirejea tena Real mwanzoni mwa Msimu uliopita kutoka Juventus na kuifungia Real Bao 20 katika Mechi zake 43 akiisaidia Timu hiyo kutwaa Ubingwa wa La Liga na UEFA CHAMPIONZ LIGI. Staa huyo atakuwa Mchezaji wa Nne kusainiwa na Meneja Antonio Conte baada ya kuwanasa Willy Caballero, Antonio Rudiger na Tiemoue Bakayoko.Morata scored 20 times in all competitions for Real last season despite limited opportunities

No comments:

Post a Comment