Kwa
kuanzia wahariri wa habari za michezo 18 au wale wenye uzoefu katika uandishi
usiopungua miaka kumi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wataenda Nairobi
kwa ziara ya mafunzo kuanzia Julai 6-9 mwaka huu.
Tunaamini
wakirudi wataendelea kuwa waalimu wazuri kwa wale chipukizi, ambao nao watapata
fursa kama hiyo siku za usoni.
No comments:
Post a Comment