Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, June 2, 2016

CARRICK KUBAKIA MAN UNITED

Michael Carrick amepewa nyongeza ya Mkataba wa Mwaka Mmoja na Meneja mpya Jose Mourinho na hivi sasa Mchezaji huyo anatafakari Ofa hiyo.
Carrick, mwenye Miaka 34 aliejiunga na Man united Mwaka 2006 akitokea Tottenham, anamaliza Mkataba wake wa sasa na Man United mwishoni mwa Juni.
Lakini kutua kwa Mourinho kumemhakikishia atabakia Old Trafford kwa Msimu Mmoja zaidi.

No comments:

Post a Comment